Habari kuhusu Tanzania
Wanachama Vigogo wa Vyama vya Upinzani Tanzania Wanahamia Chama Tawala
Hivi karibuni, wanaohama chama kikuu cha upinzani, CHADEMA, ni pamoja na wabunge wanne, madiwani 75 na wenyeviti wa vijiji kadhaa wote wamejiunga na chama tawala, CCM.
Bundi Agoma Kuondoka kwenye Bunge la Tanzania. Maana yake nini?
Bundi alionekana bungeni kuashiria mabadiliko ya sheria yanayolenga kudumaza sauti mbadala nchini Tanzania. Je, inawezekana bundi huyo ni ishara ya kifo cha demokrasia nchini Tanzania?
Kwanini Serikali za Afrika Zinapinga na Uhuru wa Vyombo vya Habari na Kutoa Maoni? Inawezekana Sababu ni Nguvu Kubwa Nyuma Yake
Kelele tunazopiga kwenye majukwaa ya kidijitali zinawaogopesha watawala kandamizi. Kuna visa kadhaa vya watawala kuchukua hatua kuzima kelele hizo.
Kumetokea Nini Kwenye Haki za Kidijitali kwa Miaka Saba Iliyopita? Toleo la 300 la Ripoti ya Raia Mtandaoni Litakueleza
Wiki hii katika kusherehekea toleo letu la 300, tunaangazia miaka saba iliyopita ya habari za haki ya kidijitali duniani!
Taarifa ya Raia Mtandaoni: Sheria Mpya Cambodia na Tanzania Zimelazimu Vyombo vya Habari vya Kujitegemea Kuwa Kimya au — Kufungwa
Taarifa ya raia mtandaoni ya Advox inaangazia taswira ya haraka kimataifa juu ya changamoto, ushindi na mienendo inayoibuka katika haki za kimtandao duniani.
Tovuti huru maarufu nchini Tanzania zafungwa kufuatia ‘kodi ya blogu’
"Hii sio tu ni leseni ya kujidhibiti mwenyewe lakini pia ni namna ya kuwa nyenzo ya serikali kuwafuatilia haki ya kiraia ya wengine (wachangiaji) kujieleza."
Je, WanaBlogu wa Tanzania Wataridhia Kulipa au Watagomea ‘Kodi ya Blogu'?
Nchini Tanzania, ambapo kihistoria, vyombo vya habari vimekuwa na ukaribu mkubwa na maslahi ya serikali, kublogu kulifungua uwezekano wa watu binafsi kuanzisha majukwaa binafsi ya kupasha habari ambayo yameonekana kuwa na nguvu sana.
Kupiga Marufuku Wasichana Waliozaa Kurejea Masomoni, Inaweza Isiwe Suluhisho la Mimba Mashuleni.
Rais John Magufuli amezionya asasi za kiraia nchini Tanzania kwa kuwatetea wasichana wanaopata ujauzito kurudi shuleni, akisema kwamba kufanya hivyo 'kutamomonyoa maadili' nchini Tanzania.
Vyombo vya Habari Tanzania Vyapotosha Mgogoro wa Serikali na Kampuni ya Madini
Mwenyekiti wa kampuni ya madini Barrick Gold amesema jambo moja, lakini vyombo vya habari vimeandika jambo tofauti kabisa.
Rais wa Tanzania Afukuza Watumishi 10,000 Kwa Madai ya Kughushi Vyeti
Uamuzi huo ni sehemu ya nia ya Rais John Magufuli kufanya mabadiliko kwenye utumishi wa umma.