· Septemba, 2014

Habari kuhusu Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara kutoka Septemba, 2014

Watu 12 Hufa na Waniger 27,000 Huachwa Bila Makazi Kutokana na Mafuriko

  3 Septemba 2014

Mvua kubwa na mafuriko nchini Niger yamewaua watu 12 na kuacha maelfu bila makazi. Mito katika Niamey na maeneo ya karibu imefurika na kuharibu maelfu ya nyumba. Katika kanda, uharibifu wa ardhi na kilimo pembezoni mwa ardhi huzidisha hatari ya kwamba matukio yaliyokithiri yanaweza kubadilika kuwa maafa ya asili. Baadhi ya...