· Novemba, 2013

Habari kuhusu Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara kutoka Novemba, 2013

Wahamiaji 87 Wafariki kwa Kukosa Maji Kaskazini mwa Niger

  4 Novemba 2013

Mnamo tarehe 30 0ctoba, watu 87 waliokuwa wakijaribu kuifikia bahari ya Mediterania walifariki mara baada ya madereva waliokuwa wakiendesha magari waliyoyatumia kusafiria kuwatelekeza wahamiaji hao katika Jangwa la Sahara. Wahamiaji hawa walihangaika kutafuta msaada bila ya mafanikio. Simulizi ya kuhuzunisha kutoka kwa mmoja wa watu walionusurika aliyejulikana kwa jina la...