Habari kuhusu Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara kutoka Septemba, 2013
Mwandishi wa Global Voices Awakumbuka Marafiki Waliouawa Kwenye Shambulio la Nairobi
Shurufu, mwandishi wa Tanzania anayeishi Dar es Salaam, alipoteza marafiki Ross Langdon na Elif Yavuz, waliokuwa wakimtarajia mtoto wao wa kwanza.
Bunge la Tanzania Lageuka Uwanja wa Masumbwi
Siku za hivi karibuni, Mbunge wa Bunge la Tanzania alijikuta katika wakati mgumu pale alipokabiliana kwa nguvu na majibizano na maafisa wa usalama wa Bunge. Si mara ya kwanza kwa hali ya mambo kuishia kwa machafuko katika Bunge la Tanzania.