· Septemba, 2013

Habari kuhusu Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara kutoka Septemba, 2013

Bunge la Tanzania Lageuka Uwanja wa Masumbwi

  16 Septemba 2013

Siku za hivi karibuni, Mbunge wa Bunge la Tanzania alijikuta katika wakati mgumu pale alipokabiliana kwa nguvu na majibizano na maafisa wa usalama wa Bunge. Si mara ya kwanza kwa hali ya mambo kuishia kwa machafuko katika Bunge la Tanzania.