Habari kuhusu Naijeria kutoka Septemba, 2020
Mnigeria Abubakar Idris Dadiyata Bado Hajapatikana, Ni Mwaka Mmoja Sasa Baada Ya Kutekwa
“Jinsi gani Dadiyata anaweza kupote kwa mwaka mzima ndani ya Nigeria na serikali haina wasiwasi na jambo hili, zaidi inatafuta kujiosha badala ya kuwajibika kumtafuta?”
Wanafunzi na Mwalimu Wao Watekwa Huko Kaduna Naijeria, Wakati Maharamia Wenye Silaha Wakifanya Vurugu na Mauaji
Maharamia wenye silaha waliowateka wanafunzi wanne na mwalimu wao kutoka Damba-Kasaya, jimbo la Kaduna nchini Nigeria wanadai fedha ili waweze kuwaachilia huru mateka hao