Habari kuhusu Naija kutoka Mei, 2013

Shambulio la Mabomu Mawili ya Kujitoa Muhanga Nchini Niger Yaua Watu 23

  24 Mei 2013

Benjamin Roger wa Jeune Afrique anaripoti [fr] kuwa wanajeshi 18, raia mmoja na magaidi wanne waliuawa mapema subuhi ya leo katika shambulio la mabomu ya kujitoa Muhanga kwenye gari mjini Agadez, Niger tarehe 23 Mei. Anaongeza kuwa wanafunzi wa chuo cha kijeshi wametekwa na gaidi mwingine kufuatia mabomu hayo. Wakati...