Habari kuhusu Msumbiji kutoka Machi, 2019
Kimbunga Chasababisha Uharibifu Mkubwa Zimbabwe na Nchi za Kusini mwa Afrika
"Inasikitisha maisha ya watu yamepotea na mali zimeharibika."
Tunaelewa Nini Kuhusu Uchaguzi Mkuu Ujao Nchini Msumbiji?
Mnamo Oktoba, 2019 Msumbiji itachagua magavana wake kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hiyo. Kabla ya uchaguzi huu, magavana hawa waliteuliwa na rais.