Habari kuhusu Malawi kutoka Novemba, 2009

Malawi: Rais Ataka Nguvu Zaidi

  25 Novemba 2009

Rais wa Malawi ataka nguvu zaidi!: “rais wa Malawi Bingu wa Mutharika, ambaye chama chake kina wabunge wengi katika bunge, anataka kunonesha nguvu zake kabla hajatoka kwenye ulingo wa siasa mwaka 2014.”