Habari kuhusu Lesotho kutoka Juni, 2012

Lesotho: Uchaguzi wa amani ambao hukuusikia

  2 Juni 2012

Lesotho, nchi ndogo inayozungukwa na Afrika Kusini pande zote, ilifanya uchaguzi wa wabunge Jumapili, uchaguzi ulioendeshwa kwa utulivu, lakini uchaguzi huo haukupewa uzito na vyombo vikuu vya habari.