Habari kuhusu Cote d'Ivoire kutoka Juni, 2014

Sababu za Kuishangilia Kodivaa kwenye Kombe la Dunia

  20 Juni 2014

Kwenye tovuti ya LaMula.pe, Juan Carlos Urtecho anaeleza sababu zake za kuishangilia Kodivaa kwenye mpambano wa Kombe la Dunia kati ya nchi hiyo na Kolombia siku ya Alhamisi, Juni 19: Desde que les ganaron a Japón en su debut, los marfileños se han vuelto mis preferidos en este mundial. […]...