Habari kuhusu Burkina Faso kutoka Novemba, 2013

Mradi Mkubwa wa Reli Kati ya Mji wa Niamey na Cotonou Kuanza

  4 Novemba 2013

Mradi wa reli wa urefu wa kilometa 1,500 kati ya Niamey, mji mkuu wa Niger na Cotonou, mji mkuu wa Benin umepitishwa na mamlaka ya nchi hizo mbili na ujenzi utaanza Machi 2014 [fr].  Francois Ndiaye katika Niamey anaelezea kuhusu makubaliano ya fedha [fr] inayojumuisha wadau mbalimbali na itasimamiwa na kundi la uwekezaji...