· Aprili, 2010

Habari kuhusu India kutoka Aprili, 2010

India, Pakistani: Hekaheka za Sania-Shoaib Zaendelea

  14 Aprili 2010

Utata wa harusi ya Shoaib Malik na Sania Mirza unaendelea huku vyombo vya habari vikichochea hekaheka na mamilioni ya watu nchini India na Pakistani wanaendelea kuzama katika habari hiyo. Wakati wapenzi hao wanajiandaa na harusi na kuvishinda vikwazo, sehemu nyingine mashambulizi yanaendelea.