Habari kuhusu Marekani
Raia wa Iraqi Aliyefanya Kazi ya Ufasiri kwa Jeshi la Marekani Akwama Ugiriki
Umoja wa Ulaya unajiandaa kuwarudisha maelfu ya wakimbizi nchini Uturuki. Mmoja wapo ni kijana aliyefanya kazi na Jeshi la Marekani nchini Iraq.
Wa-Cuba Watafakari Ziara ya Obama Jijini Havana
Wakati mjadala wa masuala ya haki za binadamu, biashara, na michezo ukiendelea, wa-Cuba kisiwani humo (angalu wale wenye mtandao wa intaneti) wanawakosoa vikali viongozi hao
Ngono, Dini na Siasa Vinapokutana Kwenye Onesho la ‘Sidiria ya Kimalaya’
Mmarekani mwenye asili ya Pakistani Aizzah Fatima amelipa umaarufu onesho lake kwenye maeneo mbalimbali katika miaka ya hivi karibuni. Jina la onesho lenyewe linaonekana kama tusi kwa wengine. Onesho linaitwa: Sidiria ya Kimalaya.
Chemsha Bongo: Je, Uko Kwenye Hatari ya Kugeuka Gaidi?
Chemsha bongo hii imeandaliwa kwa kutumia utafiti unaofanywa na serikali ya Marekani unaotumiwa kuwabaini watu wenye hatari ya kuwa magaidi au jamii zilizokwenye hatari ya kukumbatia na kuleta itikadi zenye msimamo mkali.
‘Uandishi na Vyombo vya Habari Katika Kuleta Dunia Bora Zaidi': Mkutano wa Taasisi ya Transformational Media 2014 Jijini DC
Washiriki wa Mkutano wa TM watajadili uandishi, ubunifu, teknolojia mpya, bishara na maisha enedelevu, ustawi na afya, upigaji picha, filamu na muziki,uandishi wa habari, pamoja na mambo mengine
Serikali ya Marekani Yadai Takwimu za Shirika la Indymedia Athens
Mnamo Septemba 5, Wizara ya Sheria ya Marekani iliitaka shirika linaloshughulika na masuala ya kuhifadhi tovuti iitwayo May First kutoa taarifa za mmoja wa wateja wake, ambaye ni Kituo cha Ugiriki cha cha Uandishi Huru Athens, kinachofahamika kama Indymedia Athens. Likiwa limeanzishwa mwaka 2005, May First ni shirika lisilo la kibiashara linalojikita...
CPJ Yamtaka Obama Kulinda Haki ya Kutangaza Habari kwenye Enzi za Dijitali
Wakati serikali zaidi duniani zikizidi kuwalenga waandishi wa habari kwa udukuzi, Kamati ya Kuwalinda Waandishi inaitaka Serikali ya Obama kujisafisha
Namna Teknolojia Inavyosaidia Watu Kujifunza —na Hata Kuokoa—Lugha za Dunia
Waleta mabadiliko sasa wanatumia nguvu ya teknolojia kujaribu kuziokoa lugha zilizo kwenye hatari ya kupotea, na kwa nadra, kuzifufua lugha zilizokwisha kufa.
Video ya Dakika 5, Yaweza Kuwa Tiketi Yako ya Kwenda Mjini New York
Muungano wa Ustaarabu wa Umoja wa Mataifa (UNAOC) inawaalika vijana chini ya umri wa miaka 25 kuwasilisha video walizozitengeneza wenyewe zenye urefu wa dakika 5 juu ya uhamiaji, tofauti na kuingizwa kijamii kwa ajili ya tamasha kubwa la filamu 2014. Video tatu zitakazoshinda zitazawadiwa Dola za Marekani 1000 na watengenezaji...
Unapenda wimbo gani wa kulalia?
Nyimbo la kulalia si tu zinawafaa watoto, lakini pia zinaweza kuwafaa watu wazima. Tuma wimbo wako wa kulalia kwa PRI