Habari kuhusu Marekani kutoka Oktoba, 2016
Mazungumzo ya GV: Global Voices Kutangaza Habari za Uchaguzi wa Marekani (MUBASHARA mnamo Desemba 26, Saa 11 Jioni GMT)

Trump, Hillary au Stein? Hata kama waandishi wetu wengi wa Global Voices hawataweza kupiga kura nchini Marekani, tunajisikia kuguswa kwenye uchaguzi huu wa Urais kama ilivyokuwa kwenye chaguzi nyinginezo.
Kilichoandikwa na Shirika la Habari Urusi Wakati wa Mdahalo wa Mwisho wa Urais Marekani

Mradi wa RuNet unaoangazia habari za Urusi unapitia twiti zilizoandikwa usiku wa mdahalo huo na shirika kubwa la habari la Urusi ili kupata picha ya kile kilichoendelea jijini Moscow.
Mfungwa wa Zamani wa Guantanamo Ahatarisha Maisha Yake Kwa Kugoma Kula Akishinikiza Kuunganishwa na Familia Yake
"Wamenifungia milango na kuniacha bila namna lolote na hii ndiyo njia pekee niliyonayo kujiokoa."