· Februari, 2013

Habari kuhusu Syria kutoka Februari, 2013

Hali ya Hatari kwa Watoto nchini Syria: Namna Utakavyo Saidia.

Hadi sasa,inakadiriwa watoto 4,355 wameshauawa katika mgogoro unaoendelea hivi sasa nchini Syria. Mapema wiki hii, tulitoa taarifa juu ya madhila wanayokabiliana nayo watoto wa Syria kufuatia vita hii inayoisambaratisha nchi yao vipande vipande. Leo tunaangalia namna ambavyo watu wanaweza kusaidia kukabiliana na baadhi ya changamoto wanazokumbana nazo.

12 Februari 2013