Habari kuhusu Saudi Arabia kutoka Juni, 2013
Mwanaharakati wa Haki za Binadamu Nchini Saudi Afungwa Miaka Nane Jela
Abdulkareem al-Khadar, mwanafamilia ya kifalme mwanzilishi wa shirika la haki za binadamu, Chama cha ki-Saudi cha Haki za Kiraia na Kisiasa (ACPRA), alihukumiwa kifungo cha miaka nane jela kwa kosa la uchochezi na kuanzisha shirika la haki za binadamu lisilo na leseni pamoja na mashtaka mengine
Maandamano ya Kudai Uhuru Yafanyika Kwenye Miji ya Saudi Arabia.
Makundi madogo madogo ya wanawake wa Saudi Arabia kwa wakati mmoja yaliitisha “mikutano ya kudai uhuru” katika maeneo mbalimbali ya majiji ya Saudi Arabia mnamo tarehe 10 Juni, 2013, maandamano yaliyoratibiwa na kundi lisilojulikana la mawakili @almonaseron [ Waungaji mkono] linaloshinikiza kuachiwa huru kwa ndugu zao wanaoshikil
Vijana wa Kisaudi Wakamatwa Wakituhumiwa ”Kukashifu Dini”
Vijana wawili wa ki-Saudi walikamatwa mjini Riyadh na Kamati ya Kukuza Maadili na Kuzuia Maovu (CPVPV) kwa tuhuma za kukashifu dini. MMoja wao, Bader Al-Rasheed, anasimulia tukio hilo kwa twiti kadhaa.