· Juni, 2013

Habari kuhusu Saudi Arabia kutoka Juni, 2013

Maandamano ya Kudai Uhuru Yafanyika Kwenye Miji ya Saudi Arabia.

  16 Juni 2013

Makundi madogo madogo ya wanawake wa Saudi Arabia kwa wakati mmoja yaliitisha “mikutano ya kudai uhuru” katika maeneo mbalimbali ya majiji ya Saudi Arabia mnamo tarehe 10 Juni, 2013, maandamano yaliyoratibiwa na kundi lisilojulikana la mawakili @almonaseron [ Waungaji mkono] linaloshinikiza kuachiwa huru kwa ndugu zao wanaoshikil