· Julai, 2012

Habari kuhusu Palestina kutoka Julai, 2012

Palestina: Makala Kuhusu Kifo cha Arafat yaibua maswali

  12 Julai 2012

Kituo cha habari cha Al Jazeera hivi karibuni kilionyesha makala iliyohusu kifo cha utata cha rais wa Palestina Yasser Arafat kilichotokea mjini Paris mnamo Novemba, 2004. Makala hayo yanadai kwamba kiongozi huyo hakufa kifo cha kawaida, ila aliwekewa sumu ya poloni, madai ambayo yanaibua maswali mengi.