Habari kuhusu Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini
Mamlaka za Uturuki Zawatia Kizuizini Wapigania Haki za Binadamu Maarufu Wakiwa Kwenye Warsha ya Uwezeshaji
"Watu [hawa] waliojitolea maisha yao kwa ajili ya kupigania haki za binadamu. Siku yaja watakaposimama kidete kutetea haki za wake wanaohusika kuwakamata."
Kubaki au Kuondoka Hakutoi Mustakabali wa Wakazi wa Al-Waer Nchini Syria
Waasi pamoja na familia zao wanaihamisha ngome yao kutoka kwenye jiji hili lililobatizwa jina la "Kitovu cha Mapinduzi". Hizi hapa ni baadhi ya simulizi zao.
Manusura Wasimulia Kuhusu Hatari za Kuhama Kupitia Jangwa la Sahara
"...most migrants wish to forget and move forward with their lives and therefore tend not to share their experience with peers who are still back home."
Kilicho cha Zamani ni Kipya: Unasikiliza? Matangazo ya Sauti
Katika matangazo haya ya sauti, tunakupeleka hadi Jamaica, Indonesia, Syria, Macedonia na Ethiopia kwa simulizi za kumbukumbu, ufufuaji na uzima mpya
Donald Trump Alikuwa Sahihi: Wa-Irani Wana Tabia ya Kucheza na Moto
Sherehe za kale nchini Iran za kucheza na moto, zinazoitwa Chaharshanbe Suri, zimethibitisha kuwa Donald Trump alikuwa sahihi -ingawa bila kujua - pale alipoituhumu Iran hivi karibuni kwa "kucheza na moto."
Mwanablogu wa Algeria Merzoug Touati Anaweza Kutumikia Jela Miaka 25 Kwa Kufanya Mahojiano na Afisa wa Israel Kupitia Mtandao wa You Tube
Mahojiano yake yanahusu tuhuma za serikali ya Algeria kwamba mataifa ya nje yanachochea maandamano ya kupinga hatua iliyochukuliwa na serikali ya kubana matumizi. Mwanablogu Merzoug Touati anakabiliwa na makosa ya "kutoa taarifa za kiintelijensia kwa afisa wa mataifa ya kigeni."
Mambo Si Kama Yanavyoonekana Kuwa: Yaliyojiri Wiki Hii Hapa Global Voices
Wiki hii, tunakuchukua kwenda Paraguay, Iran, Qatar na eneo la Caribiani.
Upendo Unashinda Chuki: Kipindi cha Yaliyojiri Wiki Hii Hapa Global Voices
Wiki hii, tunaanzia Marekani ambapo Omar Mohammed anaelezea msemo wake, "Marekani niliyozoea kukupenda" na kisha kukupeleka Cuba, Syria, na Taiwani.
Wenyeji wa Melbourne Wawakaribisha Wakimbikizi wa Syria kwa Mikono Miwili—na Panzi
"Panzi wetu wanatukumbusha kuwa hata kitendo kidogo kinaweza kuwa na matokeo makubwa."
Morocco Yaondoa Vikwazo Dhidi ya Vitumizi vya VoIP Kuelekea Kongamano la Tabia Nchi la Umoja wa Mataifa.
"Ili kukwepa kuonekana kama ni nchi ya mabavu wakati wa kongamano la tabia nchi #COP22, nchi ya Morocco imerejesha kwa muda huduma za VoIP," alitwiti mtuaji mmoja wa mtandao wa intaneti.