Habari kuhusu Libya kutoka Februari, 2015
Watoto Waliokosa Masomo kwa Miezi kadhaa, Wafundishwa kwa Njia ya Skype Nchini Libya
Haifa El-Zahawi, raia wa Libya aishiye New York, kwa mara ya kwanza amewapatia fursa ya kusoma watoto wa nchi atokayo ya Libya kufuatia watoto hao kushindwa kwenda shuleni kwa miezi kadhaa sasa. Shukrani kwa mawasiliano kupitia Skype