· Juni, 2013

Habari kuhusu Israel kutoka Juni, 2013

Israeli: Waandamanaji Wakumbana na Ukatili wa Polisi Jijini Yerusalemu

  12 Juni 2013

Maandamano yaliyoandaliwa na vikundi vitatu vinavyohusiana na Vuguvugu la Israel la haki ya kijamii (#j14) yalifanyika jijini Yerusalemu mnamo Jumamosi usiku (Juni 8). Waandamanaji walidai kubatilishwa kwa uamuzi wa kuuza zaidi kiasi kikubwa cha hifadhi ya gesi wakati ni asilimia 12.5 tu ya mapato hayo yatakwenda serikalini kama kodi.