· Agosti, 2013

Habari kuhusu Iran kutoka Agosti, 2013

Iran: Waziri Mpya wa Kigeni Yupo Kwenye Mtandao wa Facebook

  19 Agosti 2013

Waziri mpya wa Uhusiano wa Kimataifa wa Iran Mohammad Javad Zarif ana ukurasa wa Facebook ambapo huutumia kujibu maswali. Anasema “Mimi na watoto wangu huuhuisha (kuweka habari mpya) ukurasa huu.” Ukurasa huo una zaidi ya wafuatialiaji 79,854 walioupenda (wakati wa kutafsiriwa kwa posti hii). Mtandao wa Facebook hudhibitiwa nchini  Iran lakini ndio...