· Juni, 2012

Habari kuhusu Misri kutoka Juni, 2012

Misri: Yatambulisha Kipimio cha Morsi

  26 Juni 2012

Baada ya miaka 32 ya Hosni Mubarak, Misri imepata rais mpya Mohamed Morsi, na pia kitumizi cha kufuatilia utendaji pamoja na maendeleo ya kutimiza ahadi kuu 64 alizozitoa rais huyo mteule wakati wa kampeni za uchaguzi nchini humo.