· Februari, 2014

Habari kuhusu Mexico kutoka Februari, 2014

Wavenezuela Waishio Mexico Wawambia Waandamanaji: “Hamko Pekeyenu”

  24 Februari 2014

Hali ya mambo nchini Venezuela yaendelea kuzorota, huku pakiwa na maandamano na mikusanyiko nchi nzima ayalisababisha vifo vya watu kumi na mamia kujeruhiwa mpaka sasa. Wavenezuela duniani kote wanaopinga serikali yao wameandaa mikusanyiko ya amani kupaza sauti zao na kuzifanya serikali za nchi wanazoishi kuelewa mwenendo wa mambo. Mexico haija...