Habari kuhusu Guatemala kutoka Mei, 2017
Wito wa Kimataifa wa Kudai Haki Wawaunganisha Wachoraji Nchini Guatemala
Ni miezi miwili sasa tangu wasichana 41 kuuawa kwa kuchomwa moto kwenye nyumba ya kulelea watoto inayosimamiwa na serikali. Hata hivyo, serikali ya Guatemala imekuwa imekuwa ikisuasua kwenye kuchukua hatua.