· Aprili, 2014

Habari kuhusu Macedonia kutoka Aprili, 2014

Mashabiki Jijini Skopje Wakusanyika Kubadilishana ‘Stika’ za Soka

  30 Aprili 2014

Mamia ya watu walikusanyika mchana wa Jumapili kwenye eneo la wazi jijini Skopje kubadilishana ‘stika’ za mkusanyiko rasmi wa picha za Kombe la Dunia la FIFA tarehe 28 Aprili, 2014. Nchini Macedonia, kama ilivyo kwa nchi nyinginezo za Yugoslavia ya zamani, utamaduni wa kukusanya ‘stika’ una historia ndefu, inaanzia miaka...