Habari kuhusu Ulaya Mashariki na Kati kutoka Juni, 2016
Wa-Belarusi Waamua Kuchapa Kazi Wakiwa Uchi (Kutii Wito wa Rais)
Watumiaji wa mtandao nchini Belarusi wamekuwa wakivua nguo wakiwa makazini, baada ya kusikiliza hotuba ya Rais Lukashenka.
Matangazo ya Sauti ya ‘Wiki Ilivyokwenda’ Global Voices: Ndugu, Timiza wajibu Wako
Wiki hii tunakupeleka Urusi, India, Madagascar, Venezuela na Singapore.
Matangazo ya Sauti ya ‘Wiki Ilivyokwenda’ Global Voices: Mashujaa Wasiofahamika
Wiki hii, tunaelekea hadi Bosnia na Herzegovina, Japan na Myanmar