· Februari, 2013

Habari kuhusu Ulaya Mashariki na Kati kutoka Februari, 2013

Bulgaria: Gharama Kubwa za Nishati Zasababisha Maandamano

  27 Februari 2013

Ruslan Trad anataarifu kuwa, siku ya Jumapili tarehe 17 Februari, makumi ya maelfu ya watu katika mji mkuu wa Bulgaria, Sofia pamoja na majiji mengine waliendelea na maandamano kupinga bei kubwa za nishati ya umeme pamoja na gharama za kupasha joto.

Wakati Papa Anajiuzulu, Warusi Wajiuzulu kwa Putin

RuNet Echo  12 Februari 2013

Pasipokutaka kujua matokeo ya kujiuzulu kwa Papa Benedict na athari yake kwa imani ya Kikatoliki au tafsiri ya hatua hiyo kufuatia kashfa ya udhalilishaji iliyowakabili kwa watawa, RuNet walioweka habari hiyo kwenye safu za vichekesho.