Habari kuhusu Thailand

Thailand: Waziri Mkuu wa Zamani Afariki Dunia

  5 Disemba 2009

Samak Sundaravej — Gavana wa Zamani wa Bangkok, mwendeshaji wa kipindi cha mapishi, na Waziri Mkuu wa 25 wa Thailand amefariki dunia tarehe 24 Novemba. Soma maoni ya wanablogu na wanatwita wa Bangkok

Afya Duniani: Siku ya Vyoo Duniani Yatoa Harufu

  25 Novemba 2009

Ingawa inaweza kusikika kama masihara, Siku ya Vyoo Duniani inatilia maanani kwenye suala ambalo si la mzaha linalowakwaza karibu nusu ya watu wote duniani – ukosefu wa vyoo na mfumo wa usafi.