Habari kuhusu Asia Mashariki
Sanaa Nyakati za Kusafiri: Kutana na Wachoraji Ndani ya Usafiri wa Umma Nchini Singapore
"Ingawa ninapenda sanaa ya uchoraji kwa mfumo uliozoeleka, lakini usafiri wa umma unaleta ladha ya kipekee, salama na madhari iliyofungwa pamoja kunisaidia kufanya kile ninachokipenda."
Kilicho cha Zamani ni Kipya: Unasikiliza? Matangazo ya Sauti
Katika matangazo haya ya sauti, tunakupeleka hadi Jamaica, Indonesia, Syria, Macedonia na Ethiopia kwa simulizi za kumbukumbu, ufufuaji na uzima mpya
Wapenzi wa Nyumba, Hivi Ndivyo Nyumba za Umma Zinavyoonekana Japani
Blogu nzuri mahususi kwa kumbukumbu za miradi ya zamani ya nyumba zilizokuwa makazi ya vizazi kadhaa vya wa-Japani tangu kumalizika kwa vita vya dunia
Maisha Ndani ya Kituo cha Kulelea Watu Wenye Ukoma Nchini Myanmar
Pyay Kyaw anawatembelea wagonjwa kwenye kituo cha kulelea watu wenye ukoma cha Mt. Yosefu Cotto Legnos, kinachowatunza watu wengi, mmoja wao Maya, ambaye aliwahi kulazimishwa kwenda kuishi kwenye makaburini kwa sababu ya unyanyapaa.
China Kufungia Kutolewa kwa Huduma ya Mitandao Binafsi ya Intaneti
Serikali ya China imefungia baadhi ya huduma za VPN China tangu 2015, lakini sera mpya inafanya kutumia VPN na huduma za intaneti zisizosajiliwa kuwa kosa
Jeshi la Nchini Thailand Lawaruhusu Watoto Kucheza na Bunduki halisi, Vifaru na Helikopta za Kijeshi
"Tunawawezesha watoto walifahamu vyema jeshi pamoja na zana zinazotumiwa. Kwa uzoefu wanaoupata, wanajifunza kulipenda jeshi na hata kuwa wanajeshi hapo baadae."
Upendo Unashinda Chuki: Kipindi cha Yaliyojiri Wiki Hii Hapa Global Voices
Wiki hii, tunaanzia Marekani ambapo Omar Mohammed anaelezea msemo wake, "Marekani niliyozoea kukupenda" na kisha kukupeleka Cuba, Syria, na Taiwani.
Duterte ni Nani? Mjadala wa Kina
Amemwita Rais wa Marekani Obama mtoto wa kahaba. Vita yake dhidi ya madawa ya kulevya imeua maelfu ya watu. Lakini huo ni upande mmoja tunapomzungumzia Rais wa Ufilipino Duterte.
Picha za Mtandao wa Instagram Zaonesha Ukungu Unavyoifunika Khabarovsk
Wakazi wa Khabarovsk, mji ulioko Mashariki ya Mbali nchini Urusi, wamekuwa wakikaa ndani au kulazimika kuficha nyuso zao wanapokwenda nje tangu ukungu mzito kuufunika mji wao tangu Jumanne.
Yaliyojiri Wiki Hii Hapa Global Voices: Kuchezea Amani
Wiki hii, tunakupeleka Ukraine, Russia, Singapore, India na Brazil.