· Novemba, 2012

Habari kuhusu Myanmar (Burma) kutoka Novemba, 2012

Mkanganyiko wa Makubaliano ya OIC Kuanzisha Ofisi Nchini Myanmar

  30 Novemba 2012

Shirika la Ushirikiano wa Kiislam (OIC) limependekeza kuanzisha ofisi nchini Myanmar kwa lengo la kukisaidia kikundi kidogo cha Waislamu nchini humo. Serikali ilishakubaliana na mpango huu lakini ilibadili uamuzi huu mara baada ya kutokea maandamano ya kupinga uamuzi huo katika maeneo mengi ya nchi.