Habari kuhusu Malaysia kutoka Machi, 2014
Ndege ya Malaysia Haijulikani Ilipo Ikiwa na Abiria 239
Ndege MH370 kutoka Kuala Lumpur kuelekea Beijing ilipoteza mawasiliano na waongoza ndege, na mamlaka za kiserikali zimeshindwa kujua iliko ndege hiyo iliyokuwa na watu 239
Kuumaliza Umasikini Nchini Malaysia
Kikundi cha Saya Anak Bangsa Malaysia kinashinikiza kupitishwa kwa Sheria ya Ujumuishi wa Kijamii ili kutatua tatizo la umasikini nchini Malaysia: Maelekezo yatokayo juu kuja chini yanaonekana kutokufanya kazi pamoja...