Habari kuhusu Malaysia kutoka Mei, 2013
Je, Baada ya miaka 50, Chama Tawala cha Malaysia Kitashinda Uchaguzi?
Malaysia wnaajiandaa kwa uchaguzi mkuu wa 13 utakaofanyika Mei 5. Maudhui yanayotawala duru za kampeni za uchaguzi huo ni matarajio makubwa waliyonayo wananchi, au 'ubah' kwa lugha ya wenyeji. Je Chama tawala cha Barisan Nasional, kilichokaa madarakani kwa miaka 50, kitaendelea kutawala nchi hiyo?