· Januari, 2010

Habari kuhusu China kutoka Januari, 2010

China: Kwa Heri Google

  13 Januari 2010

Kufuatia tangazo la Google leo kuwa ikiwa serikali ya China haitaruhusu tawi lake la China kusitisha uzuiaji wa matokeo ya kutafuta tawi la Google nchini China litafungwa, wanamtandao walitembea mpaka kwenye ofisi za Google mjini Beijing ili kuweka maua. HABARI MPYA: picha zaidi hapa, uwekaji rasmi wa maua (ya rambirambi)...

Kuchapisha Bloguni kuhusu Utamaduni na Ndoa za Watu wa Asili Tofauti

  6 Januari 2010

Idadi kadhaa ya familia zinazoundwa na watu wa rangi na dini tofauti wanasimulia kuhusu uzoefu wa maisha yao katika familia zao kupitia ulimwengu wa blogu. Majaribu na mahangaiko ya wanandoa wenye asili tofauti yanaonyesha, kama kioo, jinsi sisi, kama watu tuliostaarabika, tulivyotoka mbali na hasa katika kupokea na kuheshimu tofauti zetu.

China na Hong Kong: Walinzi na Wauaji

  5 Januari 2010

Bodyguards and Assassins (Walinzi na Wauaji) ni filamu ya kuchangamsha iliyotolewa wakati wa Krismasi huko China, Hong Kong na Taiwan. Ikiwa ni filamu ya kizalendo, awali ilipangwa kutolewa mwezi Oktoba ili kusherehekea maadhimisho ya miaka 60 ya Jamhuri ya Watu wa China lakini ikacheleshwa mpaka mwisho wa mwaka 2009. Tofauti...

China: Adhabu ya Kifo kwa Akmal, ni Tendo la Kufuta Aibu ya Zamani

  2 Januari 2010

Akmal Shaikh, raia wa Uingereza aliyeshtakiwa kwa kuingiza mihadarati kinyume cha sheria nchini China, aliuwawa siku ya Jumanne japokuwa familia yake pamoja na serikali ya Uingereza waliomba adhabu ipunguzwe, wakidai kuwa alikuwa ni mgonjwa wa akili. Mahakama Kuu ya China hata hivyo ilikataa ombi la kuangalia hali ya akili ya...