· Novemba, 2009

Habari kuhusu Georgia kutoka Novemba, 2009

Georgia: Aibu Katika Kanisa la Orthodox

  4 Novemba 2009

Katika nchi inayofuata dini zaidi kwenye maeneo ya kusini mwa Caucasus ambako mkuu wa Kanisa la Orthodox (madhehebu ya Kanisa la zamani au kihafidhina) anaweza kuhamasisha ongezeko la watoto, kukosoa watumishi wa kanisa bado ni mwiko. Kuwatania, hata hivyo, ni jambo baya zaidi na lililojaa hatari.

Kuhusu habari zetu za Georgia

Sakartvelo