Habari kuhusu Video kutoka Julai, 2012
Ethiopia: Maandamano ya Waislamu Yashika Kasi
Jeshi la Polisi nchini Ethiopia waliamua kutumia nguvu kupambana na wanaharakati wa ki-Islamu, likituhumiwa kufanya vitendo haramu katika maeneo yanayochukuliwa kuwa matakatifu katika misikiti, kwa mujibu wa habari zilizoandikwa na ukurasa wa kikundi cha waislam katika mtandao wa Facebook uitwao Dimtsachin Yisema (Iache Sauti Yetu Isikike). Tangu mwezi Mei, Wa-Islamu wa ki-Ethiopia wamekuwa wakiandamana kupinga serikali kuingilia mambo yao ya kidini.
Hispania: Maandamano ya Wachimbaji Madini Yaungwa Mkono na Wananchi
Maelfu ya wananchi wa Uhispania wameungana na maandamano ya wachimbaji wa madini nchini humo, wakati waandamanaji hao walipowasili nchini Madrid baada ya kutembea kilometa 400 wakitokea kaskazini mwa nchi hiyo. Wachimbaji hao walishangazwa na kiwango cha hamasa kilichoonyeshwa, ambacho kiliongeza chachu ya kile ambacho sasa chaitwa 'usiku wa wachimbaji madini'
Uganda: Aina Mpya ya Kifafa Yatishia Maisha ya Watoto.
James Propa shares photos and YouTube videos of the effects of nodding disease in Uganda. Nodding disease is a mentally and physically disabling disease that mostly affects children. It is currently restricted to small regions in South Sudan, Tanzania and northern Uganda.
Uganda: Kuvunja Utamaduni wa Ukimya Kuhusu Haki za Afya.
A video produced by Results for Development, an international non-profit organisation whose mission is to unlock solutions to tough development challenges, was released online recently to encourage Ugandans to break the culture of silence and take control of their health rights.A video produced by Results for Development, an international non-profit organisation whose mission is to unlock solutions to tough development challenges, was released online recently to encourage Ugandans to break the culture of silence and take control of their health rights.
Angalia Moja kwa Moja Yanayojiri Sasa Hivi Katika Mkutano wa Global Voices
Mkutano wa Global Voices wa 2012 umeshafunguliwa muda mfupi uliopita katika jiji la Nairobi, nchini Kenya. Tungetamani sana kama ungeweza kujumuika nasi mkutanoni, lakini kama hilo haliwezekani, waweza pia ukatutazama moja kwa moja kupitia mtandao wa intaneti na pia tunaweza kujadiliana moja kwa moja.