Habari kutoka Muhtasari wa Habari na Uzbekistan
Serikali ya Uzbeki Yatafuta Namna ya Kudhibiti Wanablogu
Serikali nchini Uzbekistan inatafuta namna ya kutumia hatua kali za kudhibiti wanablogu wa nchi hiyo. Alisher Abdugofurov kwenye Registan.net anajadili sababu ya kutokea hali hii katika jamii ambayo haina wanablogu wengi wa kuanzia zoezi hilo.