Habari kutoka Muhtasari wa Habari na Michezo
Uchaguzi wa FIFA Unaendelea
Pamoja na kutiwa nguvuni kwa maafisa kadhaa wa FIFA kufuatia mashitaka yaliyofunguliwa na Wizara ya Sheria ya Marekani, chombo hicho kinachosimamia kandanda duniani kimesema kwamba uchaguzi wake, ambao utaunda baraza la 65 la FIFA, utaendelea kama ulivyopangwa hivi leo. Rais wa FIFA aliye madarakani Sepp Blatter, ambaye ameongoza chombo hicho...
Tafakuri Baada ya Kombe la Dunia la FIFA 2014 Nchini Brazili
Mwanafunzi wa Mexico Álvaro anablogu kuhusu hisia na maoni yake kuhusu Kombe la Dunia la FIFA 2014 nchini Brazil. Anatafakari kuhusu kufanya vibaya kwa timu za mataifa ya Mexico na Brazili, lakini anasaili kile anachokiita kushindwa kwa mkakati wa Rais wa Brazili Dilma Rouseff. Días antes del comienzo del mundial,...
Wanawake wa Kichina Waandamana Kupinga Kombe la Dunia
Offbeat China alieleza kwa nini wanawake hao wana hasira na jinsi Kombe la Dunia linavyoharibu mahusiano ya kifamilia nchini China. Wanapinga mambo mawili makubwa: 1) wapenzi wao kupuuza majukumu yao ya kifamilia kwa sababu ya kuangalia mpira usiku wa manane; 2) tabia za kucheza kamari kwa mashindano hayo.
Sababu za Kuishangilia Kodivaa kwenye Kombe la Dunia
Kwenye tovuti ya LaMula.pe, Juan Carlos Urtecho anaeleza sababu zake za kuishangilia Kodivaa kwenye mpambano wa Kombe la Dunia kati ya nchi hiyo na Kolombia siku ya Alhamisi, Juni 19: Desde que les ganaron a Japón en su debut, los marfileños se han vuelto mis preferidos en este mundial. […]...
Salamu, Brazil: Mashabiki wa Kiislam wa Kandanda na Kombe la Dunia la FIFA
Raia wa Colombia aliye na makazi yake katika Umoja wa Falme za Kiarabu, Marcelino Torrecilla anatuhabarisha [es] kuhusiana na upekee wa mashabiki wa kiislamu wa mpira wa miguu kwenye Kombe la Dunia la FIFA, 2014 : Katika Kombe la dunia, waislamu 50,000 wamesili kutoka katika mataifa mbalimbali kama vile Irani,...
Gharama na Faida ya Kombe la Dunia Nchini Brazil
Blogu ya Daniel Bustos kutoka Colombia kuhusu uchumi wa Kombe la Dunia nchini Brazil na baada ya kugusia suala lisilo epukika la rushwa, inasema: Hatimaye, Brazil itatumika kama “panya” kwa mataifa ya Amerika ya Kusini ambayo yalikuwa na ndoto kuwa siku moja itaandaa tukio hili kubwa, itatumika kuuliza kama Brazil...
Mashabiki Jijini Skopje Wakusanyika Kubadilishana ‘Stika’ za Soka
Mamia ya watu walikusanyika mchana wa Jumapili kwenye eneo la wazi jijini Skopje kubadilishana ‘stika’ za mkusanyiko rasmi wa picha za Kombe la Dunia la FIFA tarehe 28 Aprili, 2014. Nchini Macedonia, kama ilivyo kwa nchi nyinginezo za Yugoslavia ya zamani, utamaduni wa kukusanya ‘stika’ una historia ndefu, inaanzia miaka...
FIFA Yazipiga Faini Croatia na Ugiriki kwa Tabia ya Mashabiki ya Ubaguzi wa Rangi
Mnamo Novemba 2013, Croatia ilijiunga na orodha ya kuongezeka kwa timu za taifa za kandanda ambazo FIFA imezipiga faini kwa ajili ya tabia za ubaguzi wa rangi ya mashabiki wao au wajumbe wa timu. Mwezi Mei 2013, FIFA ilianza kutekeleza vikwazo vikali dhidi ya ukabila na ubaguzi. Rais wa FIFA...
Timu ya Soka ya Brazil Yazindua Kampeni Dhidi ya Ubaguzi wa Rangi
Katika video iliotolewa Jumatatu, Agosti 12, timu ya soka ya Grêmio of Porto Alegre ilileta pamoja baadhi ya wachezaji muhimu kwenye orodha ya majina yake, weupe na weusi, kwa majadiliano juu ya ubaguzi wa rangi. Mpango huo ulifanyika kusaidi mpango mpya wa FIFA, uliotekelezwa Mei mwaka huu na kupitishwa bila...
Timu ya wanawake ya Mpira wa Kikapu ya Msumbiji Yafika Mbali
Kufuatia ushindi wa kishindo kwenye mashindano ya robo fainali (tazama habari zetu ), yaliyofanyika usiku wa jana timu ya mpira wa kikapu ya Msumbiji, wanawake, ilishinda nafasi ya kuingia kwenye Fainali za Mashindano ya Afrobasket usiku wa leo dhidi ya washindi watetezi Angola. Kwa staili nyingine ya kurudi kwa ushindi...