Habari kutoka na

Namna ya Kuwa Baba Mwema

  22 Julai 2014

Raia wa Panama Joel Silva Díaz anafafanua kile ambacho kinawashangaza watu wengi, hususani wanaume: namna ya kuwa baba mwema. Kwenye blogu yake anaeleza changamoto alizokutana nazo na baba yake mwenyewe na kuhusianisha na malengo yake kama baba: …Recuerdo que veía como un juego el buscar un tema de conversación, debido...

Caribbean Yajiunga na Kampeni ya #BringBackOurGirls

  7 Mei 2014

Kama watoto wetu wangetoweka tungelipenda dunia yote kusimama na kuja kutusaidia kuwatafuta wao. Sisi … tunauliza kwamba … kwa nini mara nyingi miili ya wanawake huwa uwanja wa vita ambapo vita hupiganiwa. Hili si tatizo ambalo linahusisha mji mdogo nchini Nigeria, ni tatizo la wasichana wote kila mahali. Tillah Willah...

Sio Rahisi Ukiwa Mtu Mweusi Nchini Cuba

  7 Mei 2014

Habari mbaya kwa Wa-cuba wenye ngozi nyeusi au yenye mchanganyiko wa weusi na weupe ni kwamba hakuna taasisi huru za kisheria itawalinda kutelekezwa na serikali. Iván anaripoti kuwa watu wasio wazungu bado wanaendelea kubaguliwa nchini Cuba.

Mgogoro Usiopewa Uzito Stahiki Nchini Burundi

Wakati nchi jirani ya Rwanda inagonga vichwa vya habari na maadhimisho ya mauaji ya kimbari ya mwaka wa 1994 na kuongezeka kwa mvutano na Ufaransa, Burundi imeharibiwa katika kupuuzwa kwa mgogoro wa kisiasa na dalili za vurugu zinazoweza kusababisha mapigano mapya ya Wahutu na Watutsi. Tshitenge Lubabu nchini Burundi anatoa...