Habari kutoka na

2015 Mwaka wa Kufanyika Chaguzi Huru na Haki Barani Afrika

Wekesa Sylvanus anataraji kwamba 2015 utakuwa mwaka wa chaguzi huru na haki barani Afrika: https://wekesasylvanus.wordpress.com/2015/02/18/will-2015-be-a-year-of-free-and-fair-elections-in-africa/ Tangu kurejeshwa kwa mfumo wa demokrasia ya vyama vingi barani Afrika, ushindani nyakati za uchaguzi umekuwa suala la kufa na kupona kwenye nchi nyingi za ki-Afrika. Chaguzi barani Afrika ni suala lenye hatari zake na...

Hotuba ya Ushindi ya Rais Mteule wa Indonesia

  29 Julai 2014

Rais mteule wa Indonesia Joko Widodo or Jokowi alitoa hotuba ya ushindi akitambua moyo wa kujitolea ulioonyeshwa na wananchi: Uchaguzi huu wa rais umechochea mtazamo mpya chanya kwetu, na kwa taifa letu kwa ujumla. Uhuru wa watu na uwajibikaji wa kisiasa vinashamiri katika nyoyo za kizazi kipya. Moyo wa kujitolea...

Changamoto ya Kuhuisha Orodha ya Wapiga Kura

  29 Aprili 2014

Uchaguzi mkubwa zaidi duniani uko mbioni nchini India na mwanablogu Anuradha Shankar kwenye blogu yake ya “A Wandering Mind” anabainisha changangamoto halisi za kuboresha daftari la wapiga kura tayari kwa matumizi.

Mgogoro Usiopewa Uzito Stahiki Nchini Burundi

Wakati nchi jirani ya Rwanda inagonga vichwa vya habari na maadhimisho ya mauaji ya kimbari ya mwaka wa 1994 na kuongezeka kwa mvutano na Ufaransa, Burundi imeharibiwa katika kupuuzwa kwa mgogoro wa kisiasa na dalili za vurugu zinazoweza kusababisha mapigano mapya ya Wahutu na Watutsi. Tshitenge Lubabu nchini Burundi anatoa...

Uchaguzi Mkuu wa India 2014: Kampeni Kwenye Mitandao ya Kijamii

  8 Aprili 2014

Mitandao ya kijamii imekuwa ni sehemu ya ugunduzi na ubunifu. Milind Deora [Waziri wa Muungano na Mbunge wa Mumbai Kusini] anatamba kuwa mgombea wa kwanza kupatikana kwa wapiga kura wake kwenye mtandao wa WhatsApp na BBM, na huko anajadili mpango kazi wake ikiwa ni pamoja na shughuli zake na mipango...