Habari kutoka na

Uchaguzi wa FIFA Unaendelea

  30 Mei 2015

Pamoja na kutiwa nguvuni kwa maafisa kadhaa wa FIFA kufuatia mashitaka yaliyofunguliwa na Wizara ya Sheria ya Marekani, chombo hicho kinachosimamia kandanda duniani kimesema kwamba uchaguzi wake, ambao utaunda baraza la 65 la FIFA, utaendelea kama ulivyopangwa hivi leo. Rais wa FIFA aliye madarakani Sepp Blatter, ambaye ameongoza chombo hicho...

Jamaika: Alama Zinapoashiria Kikomo

  26 Mei 2014

Blogu ya Active Voice imetoa mkusanyiko wa twiti zenye mitazamo ya kupendekeza ufumbuzi kuhusu kampeni ya #bringbackourgirls inayodai kurudishwa kwa wasichana waliotekwa na magaidi wa Boko Haram.

Caribbean Yajiunga na Kampeni ya #BringBackOurGirls

  7 Mei 2014

Kama watoto wetu wangetoweka tungelipenda dunia yote kusimama na kuja kutusaidia kuwatafuta wao. Sisi … tunauliza kwamba … kwa nini mara nyingi miili ya wanawake huwa uwanja wa vita ambapo vita hupiganiwa. Hili si tatizo ambalo linahusisha mji mdogo nchini Nigeria, ni tatizo la wasichana wote kila mahali. Tillah Willah...

Sio Rahisi Ukiwa Mtu Mweusi Nchini Cuba

  7 Mei 2014

Habari mbaya kwa Wa-cuba wenye ngozi nyeusi au yenye mchanganyiko wa weusi na weupe ni kwamba hakuna taasisi huru za kisheria itawalinda kutelekezwa na serikali. Iván anaripoti kuwa watu wasio wazungu bado wanaendelea kubaguliwa nchini Cuba.

Trinidad na Tobago : Kutoka Serikali Moja hadi Nyingine

  7 Mei 2014

Nchi yetu haiwezi kuendelea kuuza nje ya nchi kazi zetu, rasilimali yetu, na watu wetu wenye ujuzi kuzifadhili sera za kigeni ambazo hazijachunguzwa wala kuwekwa wazi… Afra Raymond anasema kwamba mipango ya sasa ya serikali kwa serikali ni tisho la moja kwa moja kwa masilahi ya msingi ya Trinidad na...

Utafiti wa Wenyeji katika Chuo cha Bahamas

  3 Aprili 2014

Akifuatilia posti yake kuhusu “ujinga wa kupunguza bajeti kwa Chuo cha Bahamas”, Blogworld anasema: Si tu kwamba chuo hicho ni taasisi ya taifa ya elimu ya juu, lakini ndio taasisi pekee ya umma kwa wenyeji ambayo inahusiana na aina yoyote ya utafiti unaoendelea katika nchi ya Bahama.

Trinidad na Tobago: Washindi wa Tuzo za Hollick Arvon

  20 Machi 2014

Blogu ya Bocas Lit Fest imewatangaza waandishi chipukizi kutoka Jamaica, Grenada, St. Vincent na Trinidad na Tobago kuwa washindi wa Tuzo zinazovuta watu wengi za Waandishi wa nchi za Karibiani za Hollick Arvon kwa mwaka 2014, ambazo kwa mwaka huu zilifanyika kwa mara ya pili.

Trinidad na Tobago: Tume ya Mapinduzi

  18 Machi 2014

Je, Trinis inajali ripoti ya dat de iliyotolewa na Tume ya kuchunguza jaribio la mapinduzi ya Abu Bakr mwaka 1990 ambayo ndio kwanza imetoka? Trini inapendekeza kwamba kutolewa kwa matokeo haya kunaweza kuchukuliwa kuwa ni ya kiwango cha chini, na yamekuja kwa kuchelewa.