Habari kuhusu Vita na Migogoro
Mwandishi wa Habari Jean Bigirimana Bado Hajapatikana katikati ya Mgogoro wa Kisiasa Unaoendelea Nchini Burundi
Serikali kukanusha kushikiliwa kwa Jean kumewaweka marafiki na wafanyakazi wenzake na Jean katika hali hofu kuwa serikali inaweza kuwa inaficha taarifa za alipo au kuhusu kifo chake
Yaliyojiri Wiki Hii Hapa Global Voices: Kuchezea Amani
Wiki hii, tunakupeleka Ukraine, Russia, Singapore, India na Brazil.
Yaliyojiri Wiki Hii Hapa Global Voices: Hatutaki Mazoea
Wiki tunakusimulia visa vya maandamano, majanga na ubaguzi vinavyofanyika Ethiopia, Egypt, Pakistan, Trinidad na Australia.
Hiyo Ndiyo Sababu ya Google Kubadili Majina ya Baadhi ya Miji ya Crimea—na Sasa Inarudisha Majina ya Awali
Kama vile ni miujiza, Google ilibadili ghafla baadhi ya majina ya miji kwenye pwani ya Crimea —kwa kutumia huduma yake ya Ramani za Google
Ayatollah Khomeini Alifariki Miaka 27 Iliyopita, Lakini Msaidizi wa Trump Anamtaka Alaani Shambulio la Nice Hivi Karibuni
Akiongea kwenye Kituo cha Fox News akiwa na Megyn Kelly, Flynn alisema kwa hasira, “Ninamtaka Imam, au Khomeini, atoke hadharani alaani itikadi hii ya isiyojitenga na damu ya Uislamu."
‘Watu Wanapanda Boti hizo kwa Kuwa Bado Wanahitaji Kuishi’
Kampeni ya uokozi Sos Méditerranée yachapisha kwenye blogu yao maelezo ya watu walioponea chupuchupu wakielekea Ulaya kupitia bahari ya Mediterranean
Matangazo ya Sauti ya ‘Wiki Ilivyokwenda’ Global Voices: Ndugu, Timiza wajibu Wako: Uhuru, Si Udhibiti
Wiki hii tunakuchukua mpaka Puerto Rico, Kashmir, jimbo linalotawaliwa na India, Nepal, China na Myanmar.
Watu Wasiopungua 42 Wafariki Dunia Kufuatia Shambulio la Uwanja wa Ndege Istanbul
Serikali inawalaumu magaidi wa ISIS kwa shambulio hilo. Wananchi na hoteli za miji mikuu nchini Uturuki zimewakaribisha wasafiri waliokwamba kufuatia mashambulio hayo
Yaliyojiri Wiki Hii Hapa Global Voices: Watetezi
Wiki hii, tunakupeleka Cambodia, Syria, Tajikistan, Gambia na Colombia.
Raia wa Iraqi Aliyefanya Kazi ya Ufasiri kwa Jeshi la Marekani Akwama Ugiriki
Umoja wa Ulaya unajiandaa kuwarudisha maelfu ya wakimbizi nchini Uturuki. Mmoja wapo ni kijana aliyefanya kazi na Jeshi la Marekani nchini Iraq.