Habari kuhusu Vita na Migogoro kutoka Julai, 2014
Wamalaysia kwenye Ndege MH17 Iliyoanguka: “Bila Kujali Utaifa, Tuko Pamoja Kuomboleza””
Ndege ya Shirika la Malaysia MH17, iliyokuwa ikisafiri kutoka Amsterdam kwenda Kuala Lumpur, imeanguka mashariiki mwa Ukraine Alhamisi jioni. Ndege hiyo ilikuwa na abiria 298 pamoja na wafanyakazi
Madege ya Kijeshi ya ki-Palestina Yaruka kwenye Anga la Israel
Brigedi ya Palestina ya Al Qassam, tawi la kijeshi la Hamas, lilionyesha miundo mitatu ya madege ya kijeshi leo, ikisema kuwa yalirushwa kwenye anga la Israel. Mwandishi Dima Khatib anatwiti: Al Qassam Brigades say they made 3 models of Ababil drones: A1A, A1B, A1C. Pic v @QudsN of A1B during...
Waandishi wa kimataifa Wakashifu Israeli kwa Kuendelea kwa Ujenzi wa Makazi
Waandishi kumi na sita wa kimataifa ambao walishiriki katika Tamasha la Wapalestina la Fasihi, lililofanyika katika miji kadhaa Palestina kuanzia Mei 31 hadi Juni 5, walitoa taarifa kukashifu Israeli kwa kuendelea kwa ujenzi wa makazi na kupongeza juhudi za kususia kampeni ya Boycott Divest and Sanction (BDS). Taarifa, kupitia mtandao...