Habari kuhusu Sayansi

Picha Mpya ya Korea Kaskazini ya Shirika la Anga la Marekani

  27 Februari 2014

Wasomaji wa kimataifa wanaofuatilia masuala ya Korea Kaskazini labda wangekutana angalau mara moja na picha hii maarufu ya rasi ya Korea kutoka Shirika la Anga la Marekani (NASA) kuonesha tofauti kubwa ya taa zinazoangaza usiku kwenye nchi hizo mbili za Korea. NASA hatimaye walihuisha picha zao za Satelaiti na ‘ina mwonekano mzuri kuliko picha ya...

Wanasayansi Kutoka Duniani Kote Wakusanyika Nchini Brazil

  27 Novemba 2013

Jukwaa la Sayansi Duniani (WSF) linajumuisha mamia ya wanasayansi kutoka duniani kote wiki hii nchini Brazil, kujadili wajibu wao katika karne ya 21 na kusisitiza umuhimu wa ushauri wa kisayansi katika maamuzi ya kisiasa na kiuchumi. Brazil imekuwa mwenyeji wa matukio kadhaa ya kujadili kuondoa umaskini na maendeleo endelevu kutoka...

China: Barafu Iliyotengezwa Uchina

  5 Disemba 2009

Jumapili hii iliyopita tarehe 1 Novemba, Beijing ilishuhudia kuanguka kwa mapema zaidi kwa theluji katika miaka 22 iliyopita. Badiliko hilo la ghafla la hali ya hewa, lililofunika kabisa mji mzima kwa barafu, liliwashangaza wakazi wengi. Lakini vyombo vya habari viliripoti baadaye kwamba uangukaji huo wa barafu ulisababishwa na ofisi ya...

Afya Duniani: Siku ya Vyoo Duniani Yatoa Harufu

  25 Novemba 2009

Ingawa inaweza kusikika kama masihara, Siku ya Vyoo Duniani inatilia maanani kwenye suala ambalo si la mzaha linalowakwaza karibu nusu ya watu wote duniani – ukosefu wa vyoo na mfumo wa usafi.