Habari kuhusu Vyombo na Uandishi wa Habari
Mwandishi wa Habari Tanzania Atekwa na Kufunguliwa Mashtaka Yenye Utata
Mwandishi Erick Kabendera ameandika kukoa ukandamizaji unaoendelea kuotoa mizizi chini ya Rais wa Tanzania John Magufuli. Jana, serikali ilimhukumu kwa makosa ya kiuchumi, lakini wakosoaji wanasema 'jinai kubwa aliyoifanya ni kuwa mwandishi wa habari.
Kukamatwa kwa Mwandishi Mchunguzi Ivan Golunov Kwaleta Mageuzi katika Jamii ya Urusi
Kukamatwa kwa Golunov kumechochea kuungwa mkono kutoka pande zote za maeneo ya kisiasa nchini Urusi.
Vyombo Vya Habari Vya Serikali Vinamshambulia Mwanafunzi wa Shule ya Upili Ambaye Aliikosoa Serikali
Nagy amevumilia ukosoaji dhidi ya uelewa wake na hata udhalilishwaji wa kijinsia, wakati ambapo chombo kimoja kinachoiunga serikali kilimtukana matusi ya nguoni.
Mfanyabiashara wa Slovakia Ashtakiwa kwa Kuamuru Mwanahabari Ján Kuciak na Mchumba Wake Wauawe
"Hii ni hatua kubwa muhimu, na ni nadra kuchukuliwa mwandishi wa habari anapouawa. Tunatarajia kuwa mamlaka zitatekeleza ahadi ya kuhakikisha haki inatendeka dhidi ya wote waliohusika."
Huru Mchana, Usiku Kifungoni: Mwanaharakati wa Kimisri Azungumzia Masharti ya Kufunguliwa Kwake
Wanaharakati, walioachiliwa hivi karibuni kutoka gerezani, uhuru wao kwa sasa unaanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 12 jioni.
Mamlaka za Tanzania Zamshikilia na Kumfukuza Nchini Kiongozi wa Haki za Binadamu wa Uganda
Shirika la Haki za Binadamu Human Rights Watch linasema Tanzania imeshuhudia kushuka katika uhuru wa kutoa maoni, kukusanyika na kukutana" chini ya serikali ya sasa
Wanahabari Hawa wa Colombia Wanahitaji Kuelewesha kuwa Pablo Escobar Hakuwa Shujaa
"Huyu 'shujaa' ametulazimisha kujifungia ndani ya nyuma, ametufanya tustukiane, na wakati mwingine kugombana."
Umri Mkubwa, Hotuba Za Chuki Uhuru wa Habari: Ajenda Kuu Katika Uchaguzi wa Rais Nigeria 2019
Katikati ya sintofahamu ya kampeni za uchaguzi wa Naijeria — mitaani na mitandaoni — hapa ni baadhi ya masuala yanayoweza kusahaulika katika uchaguzi wa mwaka huu.
Wanaharakati Watafuta Majibu, Mwezi Mmoja Baada ya Uchunguzi wa Kifo cha Aliyekuwa Mwandishi wa Habari.
Divela aliiambia asasi ya kuwalinda Waandishi (Committee to Protect Journalists) kupitia ujumbe wa WhatsApp kwamba "vigogo nchini Ghana walikuwa wanatafuta namna ya kumdhuru"
Serikali ya Samoa Yamkamata Bloga Maarufu ‘Mfaume Faipopo’ kwa Tuhuma za Kumkashifu Waziri Mkuu
"Sheria mpya, ambayo imetokana na sheria ya zamani ya maandishi ya kukashfu, tangu ukoloni, imewasukuma viongozi wa Samoa kugeuka na kuangalia nyuma badala ya kuangalia mbele."