Habari kuhusu Haki za Binadamu
‘Jeshi halijamuua Yeyote,’ Asema Bolsonaro Baada ya Wanajeshi Kupiga Risasi 80 Kwenye Gari la Familia huko Brazil Na Kuua Mtu Mmoja
"Jeshi la watu, na huwezi kuwatuhumu watu kwa mauaji," alisema rais wa Brazil siku sita baada ya tukio lililoishangaza nchi.
Mamlaka za Tanzania Zamshikilia na Kumfukuza Nchini Kiongozi wa Haki za Binadamu wa Uganda
Shirika la Haki za Binadamu Human Rights Watch linasema Tanzania imeshuhudia kushuka katika uhuru wa kutoa maoni, kukusanyika na kukutana" chini ya serikali ya sasa
Mwanaharakati Ahmed Mansoor Aliyefungwa UAE Aendelea na Mgomo wa Kutokula
Mansoor anatumikia miaka kumi jela baada ya mahakama kumhukumu kwa kuchapisha habari za uongo na umbea kwenye mitandao ya kijamii.
Askari Polisi wa Uganda Wamuua Mtu Kimakosa kwa Kumpiga Risasi Wakidhani ni Kiongozi wa Kisiasa
Habari ya Ronald Ssebulime ni kubwa sana. Kuna habari tofauti kuhusu nani aliyemuua “anayedhaniwa kuwa mshambuliaji”na namna alivyoua. Je haki itatendeka?
Wanablogu wa Mauritania Wakabiliwa Mashtaka ya Kukashifu kwa Kutoa Taarifa ya Rushwa
Waendesha mashtaka wa serikali wawashtai wanablogu wawili kwa kusambaza taarifa zinasemekana kuwa za uongo juu tuhuma za rushwa dhidi ya Rais wa Mauritania.
Osama Al-Najjar Mwanaharakati wa Falme za Kiarabu ‘Anasota’ Jela Miaka Miwili Zaidi Baada ya Kumaliza Kifungo Chake
Al-Najjar alikamatwa kwa sababu ya ujumbe wa mtandao wa Twita wenye wito wa kuachiwa huru wafungwa wote waliofungwa kwa kutoa maoni Katika Falme za Kiarabu.
Nchini Burundi Kuchorachora Picha ya Rais —ni Kosa la Kukupeleka Jela
"Kama ningefanya katika Burundi ya Nkurunziza, ningeweza kufungwa jela."
Umri Mkubwa, Hotuba Za Chuki Uhuru wa Habari: Ajenda Kuu Katika Uchaguzi wa Rais Nigeria 2019
Katikati ya sintofahamu ya kampeni za uchaguzi wa Naijeria — mitaani na mitandaoni — hapa ni baadhi ya masuala yanayoweza kusahaulika katika uchaguzi wa mwaka huu.
Jinsi Viongozi Wa Saudia Wanavyotumia Dini Kujiimarisha na Kunyamazisha Sauti za Wakosoaji
''Unyanyasaji ni mfumo wenye mizizi mirefu, na [kwenye nchi yetu] unawezeshwa na dini.''
Wanaharakati Nchini Iraki Wapaza Sauti Kupinga Muswada wa Makosa ya Mtandaoni
Muswada unaeleza hukumu ndefu ya gerezani, ikiwa ni pamoja na kufungwa maisha kwa kufanya makosa yanayohusiana na kuzungumza.