Habari kuhusu Utawala
Serikali ya Cambodia Yasema Uchaguzi Ujao Utahusisha Watu Wengi na Utakuwa Huru na Haki—Lakini Asasi za Kiraia Zinasema Vinginevyo
Serikali imevunja chama kikuu cha upinzani, kuweka vizuizi kwa waangalizi wa uchaguzi, panua udhibiti wake juu ya mitandao ya kijamii na kufungua mashtaka ya kodi dhidi ya vyombo vya habari vinavyokosoa serikali.
Mwandishi wa Habari wa Kashmiri Shujaat Bukhari Auawa kwa Kupigwa Risasi
"Haiwezekani kujua nani ni adui zetu na nani hasa ni marafiki zetu."
Kwa Sasa Bunge la Cuba Lina Makamu wa Rais Watatu Weusi. Inakuwaje Hali Hiyo Haikutengeneza Habari?
"Kwa wapinzani kote [...] kila mmoja amekandamizwa kiasi kwamba ubaguzi wa rangi si suala la kupewa uzito. Mabadiliko haya yanahujumu mjadala na yanatuzuia kwenda mbele."
Wanaharakati wa Cuba Waanzisha Ajenda Kuhusu Haki za Mashoga Nchini Cuba
"Nini kinaweza kuchukuliwa kuwa waraka wa kwanza wa aina yake nchini Cuba [...] ikiwa na matakwa 63 na imegawanywa kwenye vipengele viwili: hatua na sera za kibunge na sena, mipango na mikakati."
Bangladeshi Yasherehekea Kurushwa Angani Kwa Setilaiti Yao Kwa Mara ya Kwanza
"Kurushwa kwa chombo hiki cha Bangabandhu Satellite-1 kumethibitishwa. labda hivi ndivyo nchi inavyobadilika. Tunajisikia fahari sana."
Brazil Yatambulisha Kanuni Ngumu Dhidi ya ‘Habari Zisizo za Kweli’ Kuelekea Uchaguzi wa 2018
Kamati yenye wajumbe wanaotoka jeshini, polisi na idara ya Usalama ya Brazili itakuwa na kazi ya kufuatilia na ikibidi kutoa amri ya kufungiwa kwa habari za uongo kwenye mitandao ya kijamii.
Serikali ya Ufilipino Yapanga Kukifunga Kisiwa cha Kitalii cha Boracay na Kutishia Kuhamisha Maelfu ya Wakazi
"Malefu kwa maelfu ya watu wataathirika ikiwa kisiwa hiki kitafungwa moja kwa moja. Watu halisi, wanaopumua, siyo takwimu."
Masikini Nchini Jordan Wanaweza Kukosa Maji Juma Zima, Ilihali Matajiri Wanapata Maji muda Wote
"Tungepata maji mara mbili kwa juma, wakati mwingine kipindi cha kiangazi kiasi hicho hakitoshi hata kutuvusha kwa wiki moja..."
Mashirika ya Kimataifa Yataka Kuachiliwa Huru kwa Mwanaharakati wa Haki za Ardhi Nchini Cambodia Tep Vanny
“Ingawa niko jela, nina pingu mikononi na nimevaa sare za wafungwa, ukweli ni kwamba sina hatia daima.”
Kupiga Marufuku Wasichana Waliozaa Kurejea Masomoni, Inaweza Isiwe Suluhisho la Mimba Mashuleni.
Rais John Magufuli amezionya asasi za kiraia nchini Tanzania kwa kuwatetea wasichana wanaopata ujauzito kurudi shuleni, akisema kwamba kufanya hivyo 'kutamomonyoa maadili' nchini Tanzania.