Habari kuhusu Habari Njema kutoka Machi, 2014
Namna Huduma ya Kuhamisha Fedha kwa Njia ya Simu Ilivyobadili Maisha ya Wakenya
Wakenya kwenye mtandao wa Twita wanaeleza namna MPesa, huduma ya kufanya miamala ya kibenki kwa kutumia simu za mkononi, ilivyobadili maisha yao tangu kuanzishwa kwa huduma hiyo miaka saba iliyopita
Mazungumzo ya GV: Heri ya Miaka 25 ya Kuzaliwa, Mtandao!
Kuna tofauti gani kati ya Intaneti na Mtandao? Kwa nini mtandao wazi ni muhimu? Jopo la wataalamu maarufu wa teknolojia na watetezi wa haki wanazungumzia hilo kwenye Mazungumzao ya GV.
Kupunguza Pengo Kati ya Matajiri na Masikini wa Bara la Afrika
"Wengine wanapanda ndege kupata matibabu ya 'aleji', wakati wengine wanatumia mizizi ya mitishamba kwa sababu tu hawawezi kumudu matibabu ya kawaida kabisa ya malariat."
Ukuta Wetu wa Berlin Nchini Syria
"Wanafunzi wa Syria kwa mustakabali bora" ni blogu ya wnafunzi wa Syria wanaofadhiliwa, ambao wanaitumia kujadili matumaini yao, kukumbuka nyumbani, wasiwasi, mashaka, mitazamo chanya na matumaini kwa Syria iliyo bora.
Picha Zilizopigwa Angani Zaonyesha Madhari Nzuri ya Cambodia
Mtayarishaji wa filamu Roberto Serrini alitumia ndege kupiga picha za uzuri adimu wa madhari ya vijijini na mijini nchini Cambodia
Global Voices Yaanzisha Ushirikiano na Shirika la Kukutanisha Wakimbizi
We're proud to assist Refugees United with translation and local advice as they help families who have lost each other reconnect online.
Kuwait Inacheza Dansi na Inayo Furaha
Kuwait inaonesha furaha yake kwa kubuni upya video ya wimbo wa Pharrel unaojulikana kwa jina la "Furaha". Tazama video hii uone namna watu wa Kuwait wanavyocheza.
VIDEO: “Nyumba ya Kusubiri” kwa Wajawazito Nchini Peru
In rural Peru, women are encouraged to spend their last weeks of pregnancy in special residential facilities that offer comfort and care. But the waiting is difficult.
Mkutano wa Wanawake wa Nchi Zizungumzao Kifaransa 2014 Wafunguliwa Kinshasa, DRC
Mkutano wa wanawake wa nchi zizuingumzao Kifaransa 2014 [fr] Unafunguliwa leo jijini Kinshasa, DRC. Huu ni mkutano wa pili kufuatia ule uliofanyika Paris mwaka 2013. Wakati ule wa kwanza ulijikita katika kupunguza vitendo vya kudhalilisha wanawake katika maeneo yenye migogoro, lengo la mkutano huu wa 2014 litakuwa ni wajibu wa wanawake...