Habari kuhusu Chakula kutoka Oktoba, 2013

Baa la Njaa Nchini Haiti

  12 Oktoba 2013

Kwa nini – wakati nchi imepokea misaada ya chakula yenye thamani ya si chini ya dola za kimarekani bilioni moja wakati wa majanga ya matetemeko ya ardhi ya mwaka 1995 na 2010 – bado baa la njaa linaongezeka? Blogu ya Haiti Grassroots Watch inasaili “malalamiko na tetesi kuhusu matumizi mabovu...

Wali Unaonata Haufai kwa Watoto, Akina Mama Waambiwa

  7 Oktoba 2013

@LaotianMama anawakumbusha akina mama wa Lao kutokuwalisha watoto wenye njaa wali unaonata ambao ni chakula cha asili kwao. Wali unaonata kwa watoto wachanga ni sawa na punje za wali katika utamaduni wa ki-Magharibi. Wazo ni lile lile kuwa kuwapa watoto wachanga chakula kigumu kutawashibisha. Kwa hiyo, kuwaanzishia watoto wachanga chakula...