Habari kuhusu Uchaguzi
Wa-Kenya Wahofia Kuzimwa kwa Intaneti Katika Uchaguzi wa Rais 2017
Kenya would be not the first country in Africa to shut down its Internet during elections -- Uganda and The Gambia have already gone this far.
Upendo Unashinda Chuki: Kipindi cha Yaliyojiri Wiki Hii Hapa Global Voices
Wiki hii, tunaanzia Marekani ambapo Omar Mohammed anaelezea msemo wake, "Marekani niliyozoea kukupenda" na kisha kukupeleka Cuba, Syria, na Taiwani.
Tukio Mubashara la Facebook Kukuza Amani na Kupambana na Kauli za Chuki Nchini Kenya
DW Akademie inaandaa tukio la kujadili mikakati ya kupambana na kauli za chuki nchini Kenya kuelekewa kwenye uchaguzi mkuu mwakani.
Duterte ni Nani? Mjadala wa Kina
Amemwita Rais wa Marekani Obama mtoto wa kahaba. Vita yake dhidi ya madawa ya kulevya imeua maelfu ya watu. Lakini huo ni upande mmoja tunapomzungumzia Rais wa Ufilipino Duterte.
Taarifa Zaonesha Jinsi Wanasiasa wa Ghana Wanavyotumia Mitandao ya Kijamii Kuelekea Kwenye Uchaguzi
The second edition of the Governance Social Media Index assesses and ranks the presence of political parties, political party leaders and key election management bodies in Ghana on social media.
Mazungumzo ya GV: Global Voices Kutangaza Habari za Uchaguzi wa Marekani (MUBASHARA mnamo Desemba 26, Saa 11 Jioni GMT)
Trump, Hillary au Stein? Hata kama waandishi wetu wengi wa Global Voices hawataweza kupiga kura nchini Marekani, tunajisikia kuguswa kwenye uchaguzi huu wa Urais kama ilivyokuwa kwenye chaguzi nyinginezo.
Mchora Katuni Snoggie Achambua Siasa za Uganda kwa Kutumia Ucheshi
Snoogies, mchora katuni wa Uganda, anatumia sanaa na vichekesho kuchambua masuala ya siasa za nchi hiyo
‘Uganda ni Chungu Kinachotokota': Kukamatwa, Udanganyifu na Kufungwa kwa Mitandao ya Kijamii Vyatawala Uchaguzi
"Winning an election through hook and crook while clobbering your fellow countrymen should never be a proud moment!"
Nguvu ya Mitandao ya Kijamii Kwenye Uchaguzi Mkuu wa Uganda, 2016
"Uhuru wa kujieleza unaambatana na wajibu wake. Kuna wakati upotoshaji hutokea wakati wa kutoa taarifa na kwenye kuchangia maoni kupitia mitandao ya kijamii."
Wa-Tanzania Wamkumbuka Baba wa Taifa Lao kwa Alama ya #DearNyerere
"#DearNyerere, enzi zako, umaarufu ulitokana na matendo mazuri kwa nchi yako, lakini siku hizi ni idadi ya wafuasi kwneye mitandao ya Instagram na Twita."