Habari kuhusu Uchaguzi
Mpambano wa Majenerali Wastaafu wa Jeshi la Naijeria na Mchango wao Katika Uchaguzi wa Rais 2019
Olusegun Obasanjo, mwanajeshi wa zamani aliyepata kuwa mkuu wa na baadae kuwa rais wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia, amekuwa akisikika akiwakosoa watawala wa Naijeria.
Wahalifu na Vita vya Kibiashara: Ni Mexico ya Aina Gani Inayomsubiri Rais Mpya?
"Leo nchini Mexico mtu hawezi kujipatia mamlaka kwa kutumia silaha, lakini anaweza kuwa na mamlaka wakiwa na salaha."
Waziri Mkuu wa Zamani wa Pakistan Nawaz Sharif na Binti Yake Anarudi Pakistani Akikabiliwa na Hukumu ya rushwa
"Hukumu hii ni maendeleo makubwa katika vita dhidi ya ufisadi, na kila fisadi lazima aandikwe kwenye kitabu cha walioiibia nchi."
Serikali ya Cambodia Yasema Uchaguzi Ujao Utahusisha Watu Wengi na Utakuwa Huru na Haki—Lakini Asasi za Kiraia Zinasema Vinginevyo
Serikali imevunja chama kikuu cha upinzani, kuweka vizuizi kwa waangalizi wa uchaguzi, panua udhibiti wake juu ya mitandao ya kijamii na kufungua mashtaka ya kodi dhidi ya vyombo vya habari vinavyokosoa serikali.
Brazil Yatambulisha Kanuni Ngumu Dhidi ya ‘Habari Zisizo za Kweli’ Kuelekea Uchaguzi wa 2018
Kamati yenye wajumbe wanaotoka jeshini, polisi na idara ya Usalama ya Brazili itakuwa na kazi ya kufuatilia na ikibidi kutoa amri ya kufungiwa kwa habari za uongo kwenye mitandao ya kijamii.
Mwanzo Mpya Kwa Malaysia Baada ya Wapiga Kura Kuuangusha Utawala wa Miongo Sita wa Chama Tawala
"Barisan Nasional si mtawala wetu tena. Masaa machache kuanzia sasa, jua litaanza kuchomoza. Tunashuhudia Malaysia mpya ikitusalimia."
Waziri Mkuu Mwanamke wa Kwanza wa Jamaica Astaafu Akisifiwa, Akikoselewa — na Mjadala wa Nani Atakuwa Mrithi Wake
"Portia Simpson aliingia kwenye siasa za uwakilishi kwa ngazi ya bunge mwaka 1976 ambapo siasa na ukabila na ghasia zilikuwa na nafasi kubwa."
Mambo Muhimu ya Kuzingatia Kwenye Uchaguzi Mkuu Nchini Kenya Agosti 8
Baada ya kukosa marudio ya uchaguzi mwaka 2007 kwa uchaguzi wa amani wa 2013, "hali ya mambo inaonekana kuwa ya wasiwasi katika uchaguzi wa mwaka huu."
Maandamano na Tuhuma za Udanganyifu Vyafuatia Uchaguzi wa Rais wa Ecuador
"Kuigawa nchi katika vipande viwili visivyopatana kwa asilimia 50: hayo ndiyo mafanikio makubwa ya Rafael Correa Delgado."
Shindano Dansi la Rais wa Kenya Lakwama Baada ya Wakosoaji Kuliita Dansi ya Aibu
"Wa-Kenya wanateseka na ukame huu na eti tunaombwa tucheze dab #DabYaAibu"